iqna

IQNA

Asia Magharibi
Uzayuni na Marekani
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja safari ya Rais Joe Biden wa Marekanii katika eneo la Asia Magharibi (Mashariaki ya Kati) kuwa ni kielelezo cha kivitendo cha uungaji mkono kamili wa Washington kwa Tel Aviv na imeonya kuhusu hatari ya safari hiyo kwa eneo hilo na mapambano ya Palestina.
Habari ID: 3475502    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema eneo la Asia Magharibi halidhibitiwi tena Marekani, na kwamba hivi sasa lipo katika mikono ya mataifa ya Waislamu.
Habari ID: 3475447    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01

TEHRAN (IQNA) – Watu milioni 74 wanaoishi katika nchi za Kiarabu zenye uhaba wa maji wanakabliwa na hatari kubwa ya kuambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona kutokana na kuwa hawana maji na sabuni ya kunawa nyumbani.
Habari ID: 3472667    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/15